at
September 17, 2017
KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
tangazo hapa
- mangekimambi_Embu tupunguze stress za michango, Eti bado kuna mtu anakataaa mtoto huko??????? 😳😳😳😳😳. Maana hiyo nyonyo saa 6 na hiyo jawline ni Hamisa mtupuuuuuu, hivyo vidole ndo huulizi vya nani na unaambiwa hiyo picha inapigwa alikuwa na mimba tayari na ushahidi kwamba Hamisa alikuwa na Mimba tayari hapo ni hizo nywele za Baba Dully maana hizo ni baada ya kuondoa zile dreads.... Sasa mtoto sio wako ina maana ulikuwa unalala na mwanamke mwenye mimba ya mwanaume mwingine ???? 😳😳
.
.
.
.
.
.
.Mkumbuke kuchanga
Kwa wale mlioko nje ya Tanzania au wenye credit/debit card tafadhali changieni kwa kubonyeza link kwenye bio yangu au ingia www.GoFundMe.com/LissuMedicalCare . Kwa wasiopenda majina yao kuonekana chagua option ya Anonymous. Hata kama una $2 sio ndogo zitasaidia. Tafadhali changieni. Diaspora twende kazi 💪
.
.
Kwa wale mlioko Tanzania tafadhali changia kwa njia hii
Bank: CRDB
Jina la akaunti: CHADEMA M4C
Namba: 01J1080100600
Tawi: MBEZI BEACH
.
HUITAJI KWENDA BENKI,
Waweza kuchagia kupitia huduma za
M-PESA au TIGO PESA au AIRTEL MONEY.
.
.
M-PESA
Piga *150*00# CHAGUA 6, Huduma za kifedha, kisha chagua 2, M-PESA KWENDA BENKI, kisha chagua 1, CRDB na kisha 1, weka namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600. (Usipofanikiwa, hapo kwenye J weka 1.Namba ya kumbukumbu weka namba ya Akaunti)
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.
.
TIGO PESA.
Piga *150*01# CHAGUA 6, Huduma za kifedha, kisha chagua 1, TIGO PESA KWENDA BENKI, kisha chagua 1, CRDB na kisha 1, kuingiza namba ya kumbukumbu ambayo ni 01J1080100600. (Usipofanikiwa, hapo kwenye J weka 1. Namba ya kumbukumbu weka namba ya Akaunti)
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.
.
AIRTEL MONEY:
Piga *150*60# CHAGUA 1, Tuma pesa, kisha CHAGUA 3,
Tuma KWENDA BENKI, kisha CHAGUA 2, CRDB, na kisha 1, ingiza namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600. (Usipofanikiwa, hapo kwenye J weka 1. Namba ya kumbukumbu weka namba ya Akaunti)
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo
B0NY3ZA HAPO CHINI KUJIUNGA NA MAGRUP YA WHATSAPP
tangazo hapa